Mzunguko wa Hedhi: Mzunguko wa kawaida wa hedhi kwa wanawake walio wengi ni siku 28. Baadhi ni siku 30, 32, 35. Hii ina maana gani? Kila baada ya siku 28 mwanamke huyu mwenye mzunguko wake wa hedhi siku 28 ataingia kwenye siku zake. Siku hizi hudumu kwa siku 3 hadi 5 na wengine huenda hadi siku 7. Na kila siku ya 14 tangu aanze siku zake, yai la kike hutotewa ili kukutana na mbegu ya kiume ili kupata ujauzito, ( yaani kama atakutana na mwenzi wake kwa kipindi cha karibuni ). Ufuatao hapo chini ni Mpangilio wa Mzunguko wa Hedhi kwa Mwanamke Anayeingia Hedhi kila Baada ya Siku 28. 1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28 √ Siku 1 hadi 7 ni zile siku ambazo mwanamke wa kawaida anaingia blidi. √ Siku 8 hadi 10 ni siku salama hakuna ujauzito. √ Siku ya 11 hadi siku ya 17 ni siku za hatari. Kuna uwezekano wa kupata ujauzito siku hizi. √ Siku ya 14 tangu mwanamke aanze kublidi ndiyo siku...
Maoni
Chapisha Maoni